• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Elimu Msingi



MUUNDO WA IDARA YA ELIMU MSINGI


UTANGULIZI
Halmashauri ya Mji wa Babati ina Jumla ya Shule za msingi 42 zikiwemo za serikali 32 na za binafsi 10. Mwaka 2020 shule 39 zilifanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi zikiwemo shule 31 za serikali na 9 za binafsi. Wanafunzi waliofanya mtihani huo walikuwa 2368 kati yao wavulana 1110 na wasichana 1258. Waliofaulu mtihani ni 1997 wakiwemo wavulana 906 na wasichana 1091 sawa na asilimia 84.33.
Upimaji wa Taifa darasa la Nne 2020 halmashauri ilikuwa na shule 41 zilizofanya upimaji huo. Shule 31 za serikali na 10 za binafsi. Waliofanya upimaji ni 3325 wakiwemo wavulana 1658 na wasichana 1667. Waliofaulu ni 3224 kati yao wavulana 1586 na wasichana 1638 sawa na asilimia 96.96

MAJUKUMU YA IDARA YA ELIMU YA MSINGI
  • Kusimamia utekelezaji wa usimamizi wa mtaala wa Elimu Msingi
  • Kusimamia utendaji wa kazi za walimu katika ujifunzaji na ufundishaji
  • Kusimamia utunzaji na uboreshaji wa miundo mbinu ya shule kama madarasa, nyumba za walimu, vyoo na ofisi za walimu.
  • Kusimamia rasilimali fedha na utekelezaji wa bajeti za shule.
  • Kuhakikisha kunakuwepo na ustawi wa walimu na wanafunzi katika maeneo ya kazi.
  • Kudumisha ushirikiano baina ya shule na wadau mbalimbali katika kuleta maendeleo ya shule.
  • Kuhakikisha shule zote zinakuwa na samani kwa walimu na wanafunzi kama madawati, meza kabati nk.
  • Kuhakikisha mazingira ya shule yanatunzwa na yanavutia
  • Kuhakikisha kila mwanafunzi mwenye umri wa kwenda shule anaandikishwa na anapata masomo.
  • Kuhakikisha walimu wanasimamia na kutekeleza mitaala isiyo rasmi kama michezo na utamaduni ili kuendeleza vipaji vya wanafunzi.
  • Kuhakikisha panakuwepo na kamati za shule zilizo hai na zinazofanya kazi na kuhakikisha kamati hizi zinaendeshwa kwa mujibu wa kanuni, taratibu na sheria.
  • Kumshauri Mkurugenzi kuhusu mambo yote ya Elimu Msingi.

HALI YA TAALUMA

UFAULU DARASA LA SABA   2015 – 2020

MWAKA
WALIOSAJILIWA
WALIOFANYA MTIHANI
WALIOFAULU
UFAULU %
WAV
WAS
JML
WAV
WAS
JML
WAV
WAS
JML
2015
874
1050
1924
854
1041
1895
611
780
1391
73.4
2016
1009
1207
2216
994
1199
2193
678
876
1554
70.86
2017
1051
1128
2179
1043
1125
2168
740
849
1609
74.22
2018
1114
1205
2319
1060
1191
2251
830
1010
1840
81.74
2019
1014
1154
2168
969
1137
2106
823
1006
1829
86.85
2020
1143
1274
2417
1110
1258
2368
906
1091
1997
84.33

UFAULU DARASA LA NNE   2016 – 2020

MWAKA
WALIOSAJILIWA
WALIOFANYA MTIHANI
WALIOFAULU
UFAULU %
WAV
WAS
JML
WAV
WAS
JML
WAV
WAS
JML
2016
1063
1175
2238
1024
1166
2190
999
1138
2137
97.58
2017
1303
1337
2640
1324
1235
2559
1297
1187
2484
97.07
2018
1316
1258
2574
1222
1260
2482
1202
1225
2427
97.78
2019
1657
1559
3216
1556
1495
3051
1480
1488
2968
97.28
2020
1726
1692
3418
1658
1667
3325
1586
1638
3224
96.96

MIKAKATI YA KUBORESHA TAALUMA KWA MWAKA 2021

  1. Kuhakikisha Wanafunzi wote wanamudu stadi za KKK.
  2. Kila shule iwe na darasa rekebishi kwaajili ya kuwasaidia Wanafuni wenye uelewa mdogo.
  3. Kuhakikisha Walimu wanamaliza mad azote kwa darasa husika kwa wakati.
  4. Kufanya ufuatiliaji wa kina wa zoezi la ufundishaji katika shule.
  5. Kurekebisha ikama shuleni
  6. Kuwepo kwa Daftari la mahudhurio ya ufundishaji vipindi darasani
  7. Kudhibiti utoro wa Walimu na Wanafunzi
  8. Kila shule kufikisha 100% ya ufaulu kwa wanafunzi wa darasa la Saba na darasa la Nne
  9. Kuwepo kwa miundombinu bora na toshelevu katika shule
  10. Kuwepo kwa mafunzo ya kuwaambukiza ujuzi wa kitaaluma na kitaalam kwa kutumia walimu mahiri nje na ndani ya Wilaya
  11. Kuwepo kwa kikao cha Pamoja kati ya maafisa(THRO, TSC) na walimu.


CHANGAMOTO

  1. Upungufu wa nyumba za walimu kwa shule za pembezoni kama Chemchem,Mutuka, Haraa, Daghailoy, Singu,Nakwa, Kiongozi, Bambay, Sendo na Sigino.
  2. Upungufu wa vyumba vya madarasa
  3. Upungufu wa matundu ya vyoo
  4. Halmashauri inaonekana ina walimu wa kutosha lakini wengi wao wana changamoto za kiafya, wamehamia ili kuwa karibu na Hospitali.



Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Wananchi wa Jimbo la Babati Mjini wameendelea kujitokeza kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili.

    May 17, 2025
  • Halmashauri ya Mji Babati imekabidhiwa mradi wa madarasa sita yaliyokamilika, Shule ya Msingi Kiongozi Kata ya Maisaka.

    May 16, 2025
  • Halmashauri ya Mji Babati imetembelewa na wajumbe kutoka Programu ya IPOSA.

    May 14, 2025
  • Mafunzo kwa waendesha vifaa vya Bayometriki na waandishi wasaidizi wa Daftari la kudumu la wapiga kura Awamu ya Pili.

    May 14, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati