• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Miji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Usafi na Mazingira
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Utoaji wa Leseni ya Biashara
    • Utoaji wa Leseni za Vileo
    • Utoaji wa Kibali cha Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani

Bw.Osmond Komba

Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani

KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI.

 1.Utangulizi.

Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kilianzishwa kwa mujibu wa sheria ya fedha ya serikali za mitaa ya mwaka 1982 kifungu no.48 ambacho ilitaka kila Halmashauri kuajiri mkaguzi wa ndani ambaye atafanya kazi karibu na wakuu wa Idara na  vitengo na ataripoti kwa Afisa Masuhuli.

2.Watumishi wa kitengo cha Ukaguzi wa Ndani.

Kitengo cha ukaguzi wa ndani kina watumishi 02 kati ya 05 wanaohitajika.Upungufu ni watumishi 03.

3. Majukumu ya Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani

i.    Kuandaa mpango wa ukaguzi wa mwaka

ii.    Kuhakikisha mpango wa ukaguzi unapitishwa na kamati ya ukaguzi

iii.    Kuandaa program za ukaguzi kwa kila kaguzi inayofanyika

iv.    Kupitia na kubaini kama mifumo ya uthibiti wa ndani unafanyakazi ipasavyo

v.    Kuandaa na kutunza  “current file’’kwa kila kaguzi inayofanyika

vi.    Kuandaa taarifa kwa kila kaguzi inayokamilika na kuiwasilisha kwa Afisa masuhuli

vii.    Kuandaa taarifa kwa kila kaguzi inayokamilika na kuiwasilisha kwa Afisa Masuhuli na Kamati ya Ukaguzi.

viii.    Kutunza siri za kaguzi zinazofanyika

ix.    Kuhakiki na kufunga hoja

4. Mafanikio.

•    Kitengo cha ukaguzi wa ndani kimeweza kufanikiwa kutoa mafunzo na maelekezo mbalimbali kwa menejimenti nzima na watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Babati,mfano uthibiti wa ndani   na udhibiti wa viashiria vya vihatarishi kwenye idara mbalimbali.

•    Watumishi wa kitengo cha ukaguzi wa ndani wamefanikiwa kupata mafunzo elekezi mbalimbali kuhusu utendaji kazi.

•    Kitengo cha  ukaguzi wa ndani kimefanikiwa kutoa ushauri   mbalimbali na kufunga hoja ambazo zilikuwa na majibu sahihi  na ya kutosheleza

5.Changamoto.

i.    Ukosefu wa rasilimali watu,kwani Kitengo kina idadi ya watumishi 02,badala ya 05 wanaohitajika ili kutekeleza majukumu na mpango kazi wa kitengo cha ukaguzi wa ndani

ii.    Ukosefu wa usafiri wa uhakika ili kuweza kukagua miradi mbalimbali kwa wakati

iii.    Bajeti ndogo ya Kitengo cha ukaguzi wa ndani,ambayo inakwamisha utekelezaji wa shughuli za ukaguzi wa ndani.

6.Utatuzi wa changamoto

•    Kuendelea kuomba kuongezewa watumishi toka idara ya utumishi

•    Kuendelea kuomba usafiri toka idara ambazo zina gari ili kuweza kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa na Halmashauri.















Matangazo

  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU November 09, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI NGAZI YA TATU July 27, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Waziri Kairuki atoa angalizo utekelezaji mradi wa BOOST

    December 13, 2022
  • Mhe. Jenista Mhagama awasisitiza watendaji wa ofisi yake kuwa na kauli nzuri na kutoa huduma bora kwa wananchi na watumishi wanaowahudumia

    December 04, 2022
  • Maagizo ya DC Twange kwa Watumishi wa Umma na Wafanyabiashara kuhusiana na utoaji wa risiti za EFD

    December 02, 2022
  • Rais Samia azindua miradi miwili mikubwa iliyogharimu Mabilioni ya fedha Mjini Babati

    November 22, 2022
  • Tazama zaidi

Video

Halmashauri ya Mji wa Babati kuelekea miaka 61 ya Uhuru
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati