MUUNDO WA IDARA YA ELIMU SEKONDARI
![]() |
UTANGULIZI
Halmashauri ya Mji wa Babati ina jumla ya Shule za Sekondari 18 kati ya hizo Shule 12 ni za Serikali na Shule 06 ni za Binafsi. Shule za serikali zina jumla ya Wanafunzi 6177 kati yao wavulana 2655 na wasichana 3522 na shule za Binafsi zina Jumla ya 2231 kati yao wavulana ni 1132 na wasichana ni 1100. Halmashauri ina jumla ya walimu 375 katika shule za sekondari za serikali. MAJUKUMU YA MKUU WA IDARA YA ELIMU SEKONDARI WA HALMASHAURI Ni Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari wa Halmashauri. Majukumu yake ni pamoja na:-
MAJUKUMU YA AFISA ELIMU TAALUMA SEKONDARI WA HALMASHAURI Afisa Elimu Taaluma wa Sekondari anatekeleza majukumu yafuatayo katika Halmashauri:-
MAJUKUMU YA AFISA ELIMU VIFAA NA TAKWIMU WA SEKONDARI WA HALMASHAURI Majukumu ya Afisa Elimu Vifaa na Takwimu wa Sekondari wa Halmashauri ni haya yafuatayo:-
MAJUKUMU YA AFISA ELIMU KATA Majukumu ya Afisa Elimu Kata yamegawanyika katika majukumu ya kiutawala na majukumu ya kitaaluma kama inavyofafanuliwa hapa chini:- a) Majukumu ya Kiutawala
Kila shule ya Sekondari katika Halmashauri inapaswa kuwa na Bodi ya shule. Bodi za shule zimeanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Elimu Na. 25 ya mwaka 1978 kikisomwa pamoja na kanuni za elimu. Pamoja na mambo mengine. Bodi ya Shule itakuwa na majukumu ya kupitia na kuelekeza Wakuu wa Shule kuhusu masuala ya fedha za shule. Katika kutekeleza majukumu yake, bodi inatakiwa:-
HALI YA TAALUMA MIKAKATI YA KUBORESHA TAALUMA KWA MWAKA 2021 CHANGAMOTO UTATUZI WA CHANGAMOTO |
Barabara ya Babati - Singida
Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati
Nukushi: +255-027-2510095
Simu: +255-027-2510095
Barua pepe: td@babatitc.go.tz
Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati