• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Uchaguzi

Bw.Bashan Kinyunyu

Mkuu wa Kitengo cha Uchaguzi

  • Halmashauri ya mji wa Babati ina Jimbo moja tu lijulikanalo kama Jimbo la Babati Mjini. Jimbo hili lina Jumla ya kata nane (8), Mitaa 35 na Vijiji 13 vyenye jumla ya vitongoji 54. Kwa mujibu wa takwimu za uandikishaji uliofavyika kwa kutumia BVR mwaka 2015 na kutumika katika uchaguzi mkuu wa mwaka Oktoba, 2015 Jimbo lilikuwa na jumla ya wapiga kura 54,404 waliokuwa katika daftari la wapiga kura.
  • Kitengo cha uchaguzi kina majukumu makubwa yafuatayo:
  • Kuratibu na kusimamia zoezi la uboreshaji wa daftari la wapiga kura katika jimbo
  • Kusimamia chaguzi zote na Kuratibu mchakato mzima wa uchaguzi katika jimbo
  • Kusimamia na Kuratibu chaguzi ndogo katika jimbo
  • Kuandaa na kuwasilisha taarifa zote za mambo yahusuyo uchaguzi  kwa mamlaka zote zinazohusiana na maswala ya uchaguzi
  • Kuratibu na kutoa elimu ya mpiga kura
  • Pokea vifaa vya Uchaguzi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi na TAMISEMI, kuvitumia na Kuvitunza

imeandaliwa na    Bashani G. Kinyunyu

                             Mkuu wa Kitengo cha Uchaguzi

                             Halmashauri ya Mji

                             BABATI

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Wananchi wa Jimbo la Babati Mjini wameendelea kujitokeza kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili.

    May 17, 2025
  • Halmashauri ya Mji Babati imekabidhiwa mradi wa madarasa sita yaliyokamilika, Shule ya Msingi Kiongozi Kata ya Maisaka.

    May 16, 2025
  • Halmashauri ya Mji Babati imetembelewa na wajumbe kutoka Programu ya IPOSA.

    May 14, 2025
  • Mafunzo kwa waendesha vifaa vya Bayometriki na waandishi wasaidizi wa Daftari la kudumu la wapiga kura Awamu ya Pili.

    May 14, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati