• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Miji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Usafi na Mazingira
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Utoaji wa Leseni ya Biashara
    • Utoaji wa Leseni za Vileo
    • Utoaji wa Kibali cha Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Utawala

Bw.Sadiki Mrisho

Kaimu Mkuu wa Idara ya Utawala na Utumishi

Halmashauri ya Mji wa Babati ina jumla ya Kata 8, Mitaa 35,Vijiji 13 na Vitongoji 54.Halmasahuri ina Mbunge 1 wa kuchaguliwa na ina Madiwani 8 wa kuchaguliwa pamoja na Madiwani 3 wa viti maalum.Idara ya utawala na utumishi inatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria ya utumishi wa umma za mwaka 2002 pamoja na kanuni zake za mwaka 2003,Taratibu za uendeshaji wa utumishi wa umma za mwaka 2003,kanuni za kudumu za utumishi wa umma za mwaka 2009 toleo la 3 pamoja na miongozo mbalimbali inayotolewa na serikali ihusuyo Utumishi wa umma.

Kazi na Majukumu ya Idara ya utawala na Utumishi

  • Kushughulikia stahili mbalimbali za watumishi ikiwemo mishahara,matibabu,likizo, masomo n.k
  • Kusimamia/kushughulikia stahili wa Waheshimiwa Madiwani ikiwemo posho za mwezi za vikao.
  • Kusimamia kwa kushirikiana na wakuu wa Idara na Vitengo kuhakiki na kuondoa watumishi wote wasiostahili kulipwa mishahara kwa sababu mbalimbali.
  • Kutafsiri sheria,Kanuni,Taratibu pamoja na miongozo mbalimbali inayohusu utumishi wa Umma.
  • Kusafisha taarifa za watumishi (data cleaning) kupitia mfumo wa taarifa za kiutumishi na Mishahara (HCMIS-Lawson)
  • Kusimamia nidhamu na maadili ya watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Babati
  • Kusimamia,kuandaa,kuratibu uendeshaji wa vikao katika ngazi ya Halmashauri na ngazi za msingi
  • Kusimamia na kuratibu zoezi la ujazaji wa fomu za mapitio ya wazi na tathmini ya utendaji kazi (OPRAS)
  • Kushughulikia mafao ya watumishi ambao ambao utumishi wao umekoma kwa sababu mbalimbali za kisheria
  • Kuratibu masuala ya Ajira na kuthibitisha kazini watumishi
  • Kuandaa mpango wa mafunzo kwa watumishi wote.

Matangazo

  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU November 09, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI NGAZI YA TATU July 27, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Miaka Miwili ya Rais Samia Manyara ni Shangwe tupu

    March 18, 2023
  • Waziri Kairuki atoa angalizo utekelezaji mradi wa BOOST

    December 13, 2022
  • Mhe. Jenista Mhagama awasisitiza watendaji wa ofisi yake kuwa na kauli nzuri na kutoa huduma bora kwa wananchi na watumishi wanaowahudumia

    December 04, 2022
  • Maagizo ya DC Twange kwa Watumishi wa Umma na Wafanyabiashara kuhusiana na utoaji wa risiti za EFD

    December 02, 2022
  • Tazama zaidi

Video

Halmashauri ya Mji wa Babati kuelekea miaka 61 ya Uhuru
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati