• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Miji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumisha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Yafahamu mambo yafuatayo kuhusu Afya ya Kinywa na Meno

Imechapishwa: March 30th, 2021

Na Nyeneu, P. R

Katika miaka mitano iliyopita tafiti mbalimbali za Magonjwa ya Kinywa na Meno Mkoa wa Manyara zimeonyesha kuongezeka kwa asilimia Hamsini na Moja (51%) Walieleza madaktari Catherine Mganga kutoka kitengo cha Meno Hospitali ya wilaya ya Babati na Daktari Mahendeka Mratibu wa afya ya kinywa na Meno kutoka ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wa Manyara. Katika tafiti hizo, takwimu pia zinaonesha magonjwa yanayoongoza ni kutoboka kwa meno, Magonjwa ya Ufizi, na mengine ni mpangilio mbaya wa Meno, kuzidi kwa Madini ya floraidi (Floride) kwenye meno ambayo husababisha au hubadili rangi ya meno pia ni pamoja na ajali zinazohusisha maeneo ya kinywa na meno.

Meno yaliyoharibika kwa kubadilika rangi baada ya kuzidi madini ya Floride

Kwa kawaida matibabu ya magonjwa hayo hupatikana katika vituo vya kutolea huduma za kinywa na meno ambazo ni Hospitali zote za Halmashauri za Mkoa wa Manyara, Vituo vya Afya vya Magugu na Katesh na Kliniki za Kinywa na Meno za Eagle Polyclinic na Oasis Dental Clinic. Alisema Dkt. Mahendeka. Matibabu hayo ni pamoja na Kung'oa jino, Kuziba jino, kusafisha na kutoa ushauri wa Kinywa na Meno wa Jamii nzima.

Ung'oaji wa Jino kwa Mama Mjamzito ni salama kabisa na ni Muhimu iwapo Mjamzito anasumbuliwa na Jino (Meno)

Aidha Wataalamu hao waliongeza kuwa kumekuwa na nadharia potofu hususani matibabu ya meno hasa hasa kung'oa. Imani hizo zinatokana na mazoea mbalimbali katika jamii. Kitaalamu meno yoyote yanaweza kung'olewa wakati wowote. Baadhi ya Imani hizo potofu ni: -

  1. Mama Mjamzito hawezi kung'olewa jino
  2. Mtu hawezi kung'olewa jino akiwa amekula
  3. Jino la juu haling'olewi
  4. Kung'oa meno ni Asubuhi tu.
  5. Huwezi kung'olewa jino ukiwa umevimba
  6. Ganzi haishiki kwa Mnywaji wa Pombe.
  7. Dawa ya Jino ni Kung'oa
  8. Meno ya Plastiki
  9. Hairuhusiwi kung'oa jino zaidi ya mara moja kwa wakati mmoja.

na zingine nyingi.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 BABATI MJI December 18, 2020
  • ORODHA YA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA October 20, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA September 21, 2020
  • TANGAZO KWA WALE AMBAO HAWAJAENDELEZA MAENEO YA KUJENGA VIBANDA UWANJA WA KWARAA August 15, 2020
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Yafahamu mambo yafuatayo kuhusu Afya ya Kinywa na Meno

    March 30, 2021
  • Babati Mji waadhimisha siku ya afya ya Kinywa na Meno Duniani Mashuleni

    March 17, 2021
  • TALGWU Kuhakikisha Wanawake wanaheshimika Makazini

    March 08, 2021
  • Baraza la Mtihani (NECTA) latangaza matokeo - CSEE, FTNA, QT na SFNA

    January 15, 2021
  • Tazama zaidi

Video

Mpango Mkakati wa Halmashauri ya Mji/DC Twange atoa pongezi/Azungumzia Babati Mji kuwa Manispaa
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati